Tuesday, October 15, 2024

Uandikishaji wa Wanafunzi Wapya 2024/2025

 





RUSHDI ACADEMY SCHOOL inawatangazia wanajamii wote kuwa imeanza uandikishaji wa wanafunzi wapya kwa mwaka wa masomo 2024/2025. Nafasi zipo kwa wanafunzi wapya kwa ngazi Maandalizi (KG1), Msingi (Primary 1) na Sekondari (Form 1). Aidha, zipo nafasi kwa wanafunzi wanaohamia kwa madarasa ya KG2, Primary 2, 5 & 6 (wanafunzi wanaohamia kwa Primary 3, 4 & 7 sharti wafaulu mtihani wa usaili utakaosimamiwa na skuli). Ada zetu ni nafuu na unalipa kidogo kidogo. Fomu za kujiunga zinapatikana skuli au piga simu au tuma sms +255716959602 au whatsApp +255622959602. Nyote Mnakaribishwa. Wahi Mapema!

No comments:

Post a Comment

RUSHDI ACADEMY SCHOOL OPENS ADMISSION FOR 2026 ACADEMIC YEAR

Rushdi Academy School invites you to join us for Nursery, Primary and Secondary education for the academic year 2026 . We offer  1. Baby Cla...